Msaada
IQNA - Idadi kubwa ya wataalam wa matibabu wa Iran wametoa wametangaza utayari wao wa kwenda Lebanon kuwahudumia watu wa nchi hiyo ya Kiarabu huku utawala wa Kizayuni, ukiendeleza vita dhidi ya nchi hiyo, afisa mmoja alisema.
Habari ID: 3479552 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/10/07
Ibada ya Hija
TEHRAN (IQNA) – Marais wa Jumuiya ya Hilali Nyekundu ya Iran (IRCS) na Mamlaka ya Hilali Nyekundu ya Saudia wamekutana mjini Mina mkoani Makka Jumapili, kujadili ushirikiano wa pande mbili.
Habari ID: 3475487 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/11